Mzee Kofi Asilenu wa Ghana, ana zaidi ya watoto 100. Wakati mmoja alishawahi kumuomba uchumba mmoja wa mabinti zake kimakosa. Hii imekaaje? SOME COMMENTS Ndemanyafo Valentine List ndogo sana!!Pga kaz mzee yai lnafaa kukaanga we kaanga 2 uwezo c upo!!!!Nam nasema e nenden dunian mkaijaze dunia!!Kuna nn tena aje na tz wale mashoboko waunganshiwe mb za jaza ujazwe!! Hassan P Kingstone Hicho ndicho kidume na sio hawa wabongo wanaoshinda kwa waganga ili wapewe dawa za kuongeza nguv.. Ukipata chance wewe fyatua tu suala la kumtongoza binti yake kimakosa hilo lisiwe sababu ya kutuuliza maswali. Kila mja kajaaliwa makosa yake na kukosea ni jambo la kawaida.. Big up dingiiii. Hakizimana Fa...
Comments
Post a Comment